Saturday, May 29, 2010

HAKUNA TENA FEGI

Annivesary Zingine... sikiliza..


Fegi ni hatari kwa mvutaji

Keshokutwa 31/05/2010 ni siku ya kupiga vita matumizi ya bidhaa za tumbaku(Sio lazima kuisoma hapa na hapa). Bidhaa mashuhuri ya tumbaku ni sigara. Nilikuwa mvutaji mzuri sana wa fegi kwa miaka kadhaa hivi. Mwaka jana tarehe kama ya leo (29/05/2009)niliona share yangu ya kuvuta fegi inatosha. Naam sijatumia kitu hicho kwa mwaka sasa na sikusubiri siku ya kujaribu kuacha ama kupunguza. Kwa mnaoendelea kuvuta hebu fikirini upya kwa kupima faida na hasara. Hapa kwenye hasara nadhani hatubishani. Binadamu bila sigara inawezekana!

Dhima ya siku ya kuacha kuvuta sigara mwaka huu inalenga katika kupunguza matumizi hayo kwa wanawake. HAPPY NO TOBACCO DAY!

Labels:

Wednesday, May 19, 2010

KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI DAR

Ufuatao hapa chini ni mchango wa mtanzania mwenzetu Judah Semali kuhusu kupunguza ama kuondosha kero ya usafiri dar es salaa. Nimeinyofoa hii kutoka mtandao wa WANABIDII.Miaka mitano tu iliyopita hali haikuwa ya hatari kama ilivyo leo. Hebu fikiria miaka 10 tu ijayo kama hakuna vichwa vya kuamua haraka nini cha kufanya hali itakuwaje. Hebu na tuone mchango wake huu:-


If we want to get rid of the traffic woes in Dar es Salaam roads we need to be more creative and innovative, than using excessive resources which could cause more harm to the economy.

First Option:

The Government should encourage organizations in the private sector which are paying VAT to purchase/import between two to seven minibuses free of charge (No import tax, VAT or any taxes to be levied for the minibuses) so that employees may use the vehicles when coming and going back to work. The employer will agree with employees on the best ways to manage the routes efficiently and effectively as well as operations costs.

The best example is the way BoT, Tanzania Road Haulage and Swissport manages its staff minibuses on daily basis. If this is implemented successful, we are sure of removing more than 200,000 vehicles in the road during peak hours.

For example:

32 Banks each with average of 200 employees in DSM, 75% having vehicles it means
nearly 5000 vehicles will be removed from the road during peak hours.

Telecom companies with more than 4,000 staff at DSM only, 80% having vehicles, it means about 3,200 vehicles will be removed from the road during peak hours

If the Government ministries and its agencies like (TRA with more than 3000 staff in DSM, TPA with more than 500 staff in Dar) will also do the same, it means that, in no time there will no longer be traffic jams during week days.

NOTE: The traffic jam in DSM is also contributed by many Government vehicles. To prove this point, let's watch the number of vehicles on the road during the budget week when many Government officials are in Dodoma. It hardly take 10 minutes to drive from Mwenge junction to Salander Bridge or even city centre. Thats why i keep on insisting that, the Government should also purchase the minibuses to discourage its staff from using private vehicles.

Flyovers usually lessen the burden of transport conundrum

Second Option:

If we want to get rid of the traffic jams in the city, we need to construct the so called New Dar Es Salaam. I found this type of construction in Luanda Angola. People are being evacuated in phases, and construction of high rising buildings, four lanes tarmac roads in between the buildings and many other important infrastuctures such as clean water supply and sewarage drainage systems are constructed.

Giving an example, evacuation can be done for the people living in the square between Karume Junction, Buguruni, Tazara and Chang'ombe traffic lights. The Government agency (NHC or Pension funds or joint program) construct about five to ten large high rising structures like the Benjamen Mkapa Tower, which are enough to accomodate all the people in that area.

All the people in that square are given an appartment to stay in those ten buildings. The rest of the area is demolished and high rising structures are built in the remaining area of the square, and accomodate people from another square as well. This evacuation and reconstruction process can go on until the whole city status changes.

The appartments are not given free of charge like NHC ones. People buy them using special policies and guidelines by the agency and the mortgage bank.


People working on new skyscrapers in the area that was previously a squatter

Third option - SUMATRA WASIWE WAKWASI

Implementation of "Executive transport system" whereby private companies will be allowed to operate executive bus business which have well planned schedules and which are neat, with air conditions etc. Even though the charge will be TZS 3,000 from Tegeta and Mbezi Beach (or TZS 6,000 return ticket), people will pay the fare so long as they are sure of getting the transport on time and without scrumbling.

My take on this: I think the second option is a long term solution for the woes of Dar's transport, housing and sanitation problems. Wewe unaonaje au unafikiriaje?

Labels:

Thursday, May 13, 2010

Nani Huyu?



'a healthy mind dwells in a healthy body'
Sasa ile ligi inayotupa kichaa ya Uingereza imekwisha, tena vizuri, basi sasa raha ni kujipa wenyewe. Way back in his final year UDSM 2002. Mhh! anataka kurejea enzi zake sijui ataweza? ijumaa njema.

Labels: ,

Wednesday, May 12, 2010

MSAADA TUTANI


Wababe wa Ligi Kuu ya Uingereza wakijinafasi na kombe lao

Ikiwa ni juma la kusherehekea ushindi wa Chelsea wa Ligi Kuu ya Uingereza (najua huu sio wimbo mzuri kwa Chib na Fadhy Mtanga)naomba kuuliza swali. Jumapili ile 'tukufu ya mapinduzi' ilitazamiwa washindi ama wawe Chelsea (99%)ama Manchester United (1%)ilikuwaje kombe lenyewe likawepo Stanford Bridge? Ingekuwaje kama ingetokea miujiza Manchester akabahatisha? Au kulikuwa na makombe mawili? Na kama ni hivyo, huwa inakuwaje ikiwa timu zaidi ya 2 (sema 4 za miji tofauti) zinatazamiwa kunyakua ubingwa? Kombe lilikuwa wapi kabla ya dakika ya mwisho?

Ninaamini katika ufanisi wa usafiri uingereza hasa wa treni na anga lakini kati ya London (waliko Chelsea)na Manchester ni zaidi ya Kilomita 263. Je kombe lilisafirishwa katika dakika chache baada ya mipira kumalizika kote. Natamani kujua nini kilitokea ama nini hutokea.

Labels: , ,

Saturday, May 01, 2010

MEI MOSI MBEYA


Leo nimeshiriki katika maandamano ya sherehe ya akina sie wa mwisho wa mwezi. dhima kuu mwaka huu ni kugomea waajiri mpaka kieleweke. Namfuata huyo dada wa mbele.


Ndani ya uwanja wa Sokoine


Katika pitapita ya kutafuta picha nikakutana na blogger wa siku nyingi Rashid Mkwinda (katikati)wa Fasihi za Ufasaha akisaka habari hapa na pale. Hapa alikuwa katika harakati za kumhoji mmojawapo wa wafanyakazi bora mwaka huu.


Jamaa wa Usangu Logistics (T) akikwea zawadi ya pikipiki kwa ajili ya ufanyakazi bora. Kushoto (nyekundu)ndio akina Usangu Logistics wenyewe.


Jamaa hawakukosa kutuonyesha namna wanavyotutengenezea kilaji. Mbeya kuna kiwanda cha TBL.


Huwaga sijivungi nikipata ya 'kuonja'.

Labels: