Thursday, July 21, 2011

MRISHO NGASSA: TUKIWEZESHWA TUNAWEZA



Mbongo Mrisho ngassa akikamua vilivyo na mchezaji wa Manchester United yeye akichezea Seattle Jana. Naam tukiwezeshwa ....

3 Comments:

At 10:59 AM, Blogger Fadhy Mtanga said...

naona kijana wetu akikamuana na Fabio vilivyo....nadhani wachezaji wetu wana vipaji ila wanakosa tu exposure!

 
At 1:05 AM, Blogger John Mwaipopo said...

nazani pia wanahitaji kujitambua kuwa destiny yao isiwe yanga, simba na azam. wafundishwe kujiwekea malengo kuwa wa-aim high and failure will be their success. waki-aim low, success will be their failure.

kwa mfano malengo yango yakiwa kuchezea manchester united utakaposhindwa kuichezea si hapa unaweza kudondokea fulham. haya ni mafanikio pia. Lakini kama malengo yako ni kuchezea yanga, unaweza kuishia kuchezea majimaji. huku kutakuwa kushindwa kabisa.

 
At 4:17 AM, Blogger Jiniaaz! Popkorn said...

subuutuu, Majimaji vigogo mwananguu! Huwezi kuwalinganisha na Tukuyu Staaz!

 

Post a Comment

<< Home