WATOTO WAKITOROKA
Leo mchana mitaa ya Ilala Boma. Nikawakuta watoto hawa wa Shule ya Msingi Mkoani wakitoroka kwa mtindo huo. Palepale nikapata jibu kuwa tabia ya utoro bungeni huanzia shuleni.
Juu na chini madogo wakitoroka
Labels: utoro
WAAMINIFU WANAAMINI BARAGUMU LIKIPIGWA LINA JAMBO, TENA JAMBO JEMA. BASI BARAGUMU HILI LINAJITAHIDI KUFIKIRISHA, KUFUNZA NA KUBURUDISHA
WATOTO WAKITOROKA
Labels: utoro
7 Comments:
Unafikiri! nikweli kabisa!!!
Sijui na ufisadi huanzia wapi??
Mmmmh!
Kwikwikwi,kaka wa mimi Kitururu mbonaumeguna tuu? au umekumbuka enzi hizo!!!!!
@Dada R:Umenistukia kumbe!:-)
Ndio maana wenzetu wakichagua kiongozi wanajaribu kumchimba mtu kuanzia utotoni!
Mwalimu;
Umepotea na natumaini huko uliko ni kwema. Naunga mkono swali la Chib: Ufisadi nao huanzia wapi ???
Nilikuwa napita hapa kusema kwamba sasa nimerudi tena rasmi. Tupo pamoja !!!
http://matondo.blogspot.com/2011/12/wanablogu-wenzangu-na-wapenzi-wote-wa.html
Post a Comment
<< Home