Tuesday, October 20, 2009

Huna Matumaini, Umekata Tamaa?

Hebu msikilize Lee Ann Womack katika I Hope You Dace, kwenye lvideo Songi hili huwa sichoki kulisikilizaga hasa ninapokataga tamaa. [wimbo umetumika pia katika filamu ya The Family That Preys]



Monday, October 19, 2009

Miaka Miwili Bila Lucky Dube

Binafsi namkumbuka sana, hasa show zake. Ninapokumbuka kifo chake (18/10/2007) cha kudungwa risasi na majahili ambao walitaka kumpora gari huwa naliwazwa na wimbo wake Crazy World. Ilisemekana wauaji wake hawakujua kuwa mtu waliyekuwa wakimuwinda alikuwa mwanamuziki mashuhuri na inadaiwa walisema: " We have killed tha man!" Kila mwaka nakumbuka mistari hii iliyopo katika Crazy World (songi kamili videoni)

People dying like flies every day
You read about it in the news
But you don't believe it
You'll only know about it
When the man in the long black coat
Knocks on your door
'Cause you're his next victim.......

Thursday, October 15, 2009

Kanumba huyo tena Jamani






Safari hii na £ovely Gamble. Trailer yake inaonyesha huyu jamaa sasa katoka kivyengine.

Starring Steven Kanumba na Mekki Macha

Director R. Okemwa

Editor B. Baraka

Producer F. Eyembe

trela iko matawi katika link hapa




Labels:

Monday, October 12, 2009

Majek Fashek then and now

I used to love the music of this Nigerian legend, Majek Fashek. I still love his music. The news has it that he is literally a pauper because of addiction to booze and some hard stuff (!).

Majek Then

I knew him because of his songs, not his addiction.


Majek Now

Today I am reminiscing with his songs especially So Long here. I really love this one. Anyone owning his CDs? I am dying for them.

Labels: