Friday, April 29, 2011

NUKUU ZETU



Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu (kulia) akizungumza ndani ya Bunge mjini Dodoma hivi karibuni.

Mbali na kutokuwepo hewani kwa muda fulani, blogu hii kwa wakati fulani itakuwa inachombezwa na nukuu anuai kwa nia ya kutushirikisha maoni ya watu mbalimbali. Leo tunaanza na hii.

Quotabla quotes
"I take my time to read everything that I am supposed to, members of parliament from CCM hardly read anything" Tundu Lissu

Wednesday, April 13, 2011

NITAREJEA
Nimeadimika mtandaoni kutokana na kuwa 'bize' na mambo fulani. Pia niko safarini morogoro na dar es salaam. sipati muda sana wa kuwa na internet.


Panapo majaliwa nitarejea hewani.

Labels: