Wednesday, April 13, 2011

NITAREJEA
Nimeadimika mtandaoni kutokana na kuwa 'bize' na mambo fulani. Pia niko safarini morogoro na dar es salaam. sipati muda sana wa kuwa na internet.


Panapo majaliwa nitarejea hewani.

Labels:

3 Comments:

At 7:35 AM, Blogger Yasinta Ngonyani said...

Ahsante kwa taarifa nilitaka kuwaarifu wahusika wakutafute. Rudi karibuni kaka:-)

 
At 8:04 AM, Blogger Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Utatukuta tu. Cha muhimu ni uzima...

 
At 3:55 PM, Blogger Goodman Manyanya Phiri said...

Nakuonea wivu sana kwa kufaidi Milima Uruguru!

Bora ningeadimika mimi mtandaoni hapa kwa sababu zako, Bwana weee!

 

Post a Comment

<< Home