Kufanya Mitihani na Mimba
Serikali imesharuhusu wanafunzi 'waliteleza' kufanya mitihani ya mwisho. Juzi wameanza wa darasa la saba. Nafikiri mwendo ndio huohuo kwa kidato cha nne na cha sita.

Hivi ni faida zipi na hasara zipi tuzitarajie kwa ruksa hii?
Picha kutoka kwa michuzi
Labels: education