Friday, December 07, 2007

NIMEPOTELEA HUKU JAMANI!!!
Pengine wengine mmekuwa mkijiuliza vipi mbona kimya kimezidi basi jibu ni hili nimefungwa kuanzia mwezi wa Septemba na skuli. Nimerejea Mlimani kufukuzia 'nondo' (Michuzi style) ya M.A. Linguistics.Shule ngumu hii!!
I wish I had not come to school at all!!!!
Hapo vipi? ila ntakuwepo nyakati 'flan-flan'
Ntamaliza tu. Penye nia pana njia ila nahitaji kukumbushia msuli wa long time.
Oooopss!!!!! Kumbe sijaanza kuaandika assignment za kukusanya kesho. Sijui nisingizie kuumwa?

Graduation

William Andinndilie ana kila sababu ya kufurahi baada ya kutunukiwa M.A. katika Geography tarehe 24/11/2007 kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, pahala ambako pia amepata mzigo wa kufundisha. Hapa nampa kampani wakati wa sherehe.

Thursday, December 06, 2007

Nilitaka niwaletee mapicha lakini yamekataa kuupload. Mpaka wakati mwingine