NIMEPOTELEA HUKU JAMANI!!! 
Pengine wengine mmekuwa mkijiuliza vipi mbona kimya kimezidi basi jibu ni hili nimefungwa kuanzia mwezi wa Septemba na skuli. Nimerejea Mlimani kufukuzia 'nondo' (Michuzi style) ya M.A. Linguistics. Shule ngumu hii!!
Shule ngumu hii!!
 I wish I had not come to school at all!!!!
 I wish I had not come to school at all!!!!
 Hapo vipi? ila ntakuwepo nyakati 'flan-flan'
Hapo vipi? ila ntakuwepo nyakati 'flan-flan'
 Ntamaliza tu. Penye nia pana njia ila nahitaji kukumbushia msuli wa long time.
 Ntamaliza tu. Penye nia pana njia ila nahitaji kukumbushia msuli wa long time.
 Oooopss!!!!! Kumbe sijaanza kuaandika assignment za kukusanya kesho. Sijui nisingizie kuumwa?
 Oooopss!!!!! Kumbe sijaanza kuaandika assignment za kukusanya kesho. Sijui nisingizie kuumwa?
    
     Shule ngumu hii!!
Shule ngumu hii!! I wish I had not come to school at all!!!!
 I wish I had not come to school at all!!!! Hapo vipi? ila ntakuwepo nyakati 'flan-flan'
Hapo vipi? ila ntakuwepo nyakati 'flan-flan' Ntamaliza tu. Penye nia pana njia ila nahitaji kukumbushia msuli wa long time.
 Ntamaliza tu. Penye nia pana njia ila nahitaji kukumbushia msuli wa long time. Oooopss!!!!! Kumbe sijaanza kuaandika assignment za kukusanya kesho. Sijui nisingizie kuumwa?
 Oooopss!!!!! Kumbe sijaanza kuaandika assignment za kukusanya kesho. Sijui nisingizie kuumwa?



