Mjengo wetu Baaab Kubwa
mbali na kuwa kiuchumi tuko nyuma kwa mbali saaaaaana ya Uingereza, na pengine nyuma kidogo ya Kenya lakini jengo letu la Bunge ni balaa. Kubwa kichizi. kweli usafi au umaridadi huonyesha si masikini, au?

Hili La Uingereza

Hili la Kenya

Hebu Cheki letu. Lipi Kali?

Hili La Uingereza

Hili la Kenya

Hebu Cheki letu. Lipi Kali?
Labels: Majengo

