Wednesday, June 17, 2009

Mjengo wetu Baaab Kubwa
mbali na kuwa kiuchumi tuko nyuma kwa mbali saaaaaana ya Uingereza, na pengine nyuma kidogo ya Kenya lakini jengo letu la Bunge ni balaa. Kubwa kichizi. kweli usafi au umaridadi huonyesha si masikini, au?


Hili La Uingereza


Hili la Kenya


Hebu Cheki letu. Lipi Kali?

Labels: