Yanga Bingwa 2009/2010
Labels: soccer
WAAMINIFU WANAAMINI BARAGUMU LIKIPIGWA LINA JAMBO, TENA JAMBO JEMA. BASI BARAGUMU HILI LINAJITAHIDI KUFIKIRISHA, KUFUNZA NA KUBURUDISHA
Yanga Bingwa 2009/2010
Labels: soccer
Mwaka Mmoja bila Lucky Dube
 Kesho tarehe 18/10/08 tasnia ya muziki wa reggae itaadhimisha mwaka mmoja toka siku ile chungu ya kuuwawa kwa risasi wa nguli wa muziki huo wa kule africa kusini, hayati Lucky Philip Dube.
Kesho tarehe 18/10/08 tasnia ya muziki wa reggae itaadhimisha mwaka mmoja toka siku ile chungu ya kuuwawa kwa risasi wa nguli wa muziki huo wa kule africa kusini, hayati Lucky Philip Dube.  Akifanyaga vitu vyake watu walikuwaga nyomi. Sehemu nyingi ama ilikuwa wauane kwa kukanyagana ama ndugu wapoteane
 Akifanyaga vitu vyake watu walikuwaga nyomi. Sehemu nyingi ama ilikuwa wauane kwa kukanyagana ama ndugu wapoteane
 Maziko yake. Tandiko majani, blaketi udongo.
 Maziko yake. Tandiko majani, blaketi udongo.Pengine alitabiri kifo chake katika wimbo Crazy World kutokana na uhalifu wa namna hiyo kukithiri Afrika ya Kusini. Ubeti mmoja unaenda hivi:
So far so good we still living today
But we don't know what tomorrow brings
In this crazy world
People dying like flies every day
You read about it in the news
But you don't believe it
You'll only know about it
When the man in the long black coat
Knocks on your door
'Cause you're his next victim
As you are living in this... (crazy world)
Kwaheri Lucky Dube
Labels: kumbukizi

Labels: mwaka mpya wa masomo
Taifa Stars 'walipolinda heshima'

Ukaguzi wa timu
Cape- Verde wakipasha
Watunza heshima wakipasha, Ivo Mapunda katika njano bahari (mpauko)
Labels: soccer