Saturday, June 05, 2010

'ZEMARCOPOLO' ATANGAZA NIA MOROGORO


Dk. Imani Hamza Kondo 'ZEMARCOPOLO'

Kwa wenzangu na mie tulioanza kublogu maka ya 2005/2006 na kuendelea tunamkumbuka mwanablogu mashuhuri haka kwa uchangiaji aliyekwenda kwa jina la ZEMARCOPOLO. Huyu ni Dk. Imani Hamza Kondo. Ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Morogoro Kusini Machariki kwa tiketi ya CCM.

Anaomba ushirikiano wa namna yoyote iwayo. Soma zaidi hapa na hapa.

Sauti ya Baragumu inamtakiwa kila la heri.

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

<< Home