Saturday, May 28, 2011

UCHOKOZI...!!



"ACHA NINYWE KWA RAHA ZANGU MAANA NIMESHAUA ILE SHEITWAN USAMA! HAHAAAAAAAAAAAAAAAA" (Nukuu imetoka hapa)

Labels:

3 Comments:

At 3:54 PM, Blogger Yasinta Ngonyani said...

Inawezekana anasema hivyo au labda anasema ingekuwa kazi na starehe ....

 
At 1:28 PM, Blogger Rachel Siwa said...

Kama wamekunja sura, wanasikilizia utamu au wanawaridhisha wenyeji labda ni mbaya au chungu sana!!!!!!

 
At 8:12 AM, Blogger John Mwaipopo said...

Swhili na waswahili nakubaliana na wewe. hiki kinywaji huwa kinahitaji roho ngumu maana ni kichungu. kama ulivyosema kuna mawili. ama wao wametengenezewa yenye utamu kama utalmu wa vita malt au wanajikaza tu kwa political reasons

 

Post a Comment

<< Home