Saturday, September 18, 2010

WEWE UNGEFANYEJE

Mwenyewe una dharura zako, huna hili wala lile na unahitaji pesa kiasi kutatua dharura zako. Unafika kwenye ATM unakuta hii maneno....unafanya nini, hasa ukiwa kilaza kama mimi.



Automated Teller Machine

Labels:

6 Comments:

At 3:34 AM, Blogger Fadhy Mtanga said...

unaweza ukabanwa na dharura zote kwa mkupuo

 
At 4:03 AM, Blogger Christian Bwaya said...

Hi hi hi hiiii! Asante kwa kuifanya siku yangu ipendeze. Nimecheka sana!

 
At 6:44 AM, Blogger Simon Kitururu said...

:-)

 
At 7:55 AM, Blogger malkiory said...

This comment has been removed by the author.

 
At 11:50 AM, Blogger ADELA KAVISHE said...

hahahahaha hii kali

 
At 2:36 AM, Blogger Unknown said...

duh hiyo bank itakuwa na ugomvi na watu tulio kimbia math huko tulipo toka.

 

Post a Comment

<< Home