Friday, July 20, 2007

MBEYA KWENDA KYELA
Jana nilijipa safari ya kwenda Kyela kwa kuendesha mwenyewe. Njiani hizi zilinifurahisha.

Ukungu maeneo ya Kiwira kuelekea Tukuyu
Ukungu
Ukungu umeisha
Mjini Tukuyu

Mbeleni sikupiga tena. Nilianza kuchoka.

Alamsiki

9 Comments:

At 4:09 PM, Blogger MICHUZI BLOG said...

tunasubiri vituzzzz toka kyela na itungi

 
At 3:23 AM, Blogger chemshabongo said...

kaka nimekutag utueleze mambo nane tusiyojua kuhusu wewe.poleni na baridi la hapo mbeya ukungu unatisha uo duh!

 
At 1:38 AM, Blogger Alex Mwalyoyo said...

Sawasawa Kaka.
Tunashukuru kwa picha.
Kama utapata muda basi usisahau kupita pale mahali panapoitwa daraja la 'Mungu' na kutupatia picha zake.
Kila la heri.

 
At 1:00 PM, Blogger Unknown said...

Safi sana picha nzuri toka mbeya na blog nzuri pia check hii yangu
iko vipi www.kennedytz.blogspot.com

 
At 1:11 AM, Blogger Aliko said...

Wababe wote wa hapo stendi na sokoni tky ni jamaa ninaowaelewa vizuri hivyo hupita hapo bila wasi...Barabara hio inayopandisha kilimani kushoto inaenda makao makuu ya landmark hotel baada ya benki nbc kuna round about..kuelekea majengo chini ya milima ya tky unakutana na kijiji cha ndionga ni mahala muhimu sana kwangu binafsi shukrani sauti ya baragumu

 
At 2:00 PM, Blogger Mtepa said...

kinacho nisibu ni vijana wa tky kukaa maeneo ya stendi,sokoni na uwanjani C.C.M bila kazi.hilo kwangu ni tatizo.sio hapo tu hata katumba na uyole mambo ni hayo hayo tu.nina ombi naomba update ya soka la TUKUYU.

 
At 8:30 PM, Blogger Simon Kitururu said...

Samahani, natoka nje ya somo!

Njoo tumalizie kujadili kipengele, ili tuende kwenye hatua nyingine ya kuboresha wanajumuiya wa jumuiya ya Watanzania wanao tembelea au wanao blogi.

Tembelea hapa : http://blogutanzania.blogspot.com/
ilia tumalize kujazia dondoo ili tu anze na kipengele kingine.
Idumu JUMUWATA!

 
At 9:16 AM, Blogger Reggy's said...

Motowaka mambo vipi, naona mambo yako yanawaka kama moto. Keep it up kama, fanya akama ulivyokuwa majuu...tuko sambamba

 
At 9:55 PM, Blogger Unknown said...

Yes..yes.. tuletee hizo kitu

 

Post a Comment

<< Home