Tuesday, June 12, 2007

Usitake Ncheke Mie!!!! Kumbe kazi ya U-DJ sio ngumu. Katuni zingine za kutisha (kama unatumia pombe na sigara zinatisha ) za David Chikoko zibofye hapa.

3 Comments:

At 5:05 AM, Blogger Egidio Ndabagoye said...

Mwaipopo hili chapisho kwa wavuta fegi na wagida kinywaji wakilisoma mpaka mwisho wanaweza kupunguza kiwango cha matumizi yao ya hivyo vilevi.

Mimi nilijua ukigida bia unaoongeza damu! kumbe sio.Sasa wagidaji bia wanakuwa na vitambi na vitambi si dalili ya afya bora?

 
At 8:03 AM, Blogger chemshabongo said...

kaka nimeona comment yako kuusu wanafunzi wa ukrain nimeifagilia sana, ni kweli wanasoma nje na wanaoumia ni mama zetu na baba zetu wakulima wa hali ya chini, wakati hutawai kuckia nafasi za kusoma nje zikitangazwa au zikiwekwa wazi kwa kila mmja, utaskia tu kuna watanzania wapo ukrain na wapi na wapi! kwa hiyo c oni sababu ya kumtafuta mkombozi wa hili, na kuusu kikwete na ahadi zake ckumbuki ni ipi aliiiaidi na ipi ameitekeleza cna comment na hilo.
tupo pamoja kaka

 
At 10:10 PM, Blogger Anak Fakfak said...

Hai.....salaam,

how are u.....

 

Post a Comment

<< Home