Friday, July 20, 2007

DAR TO MBEYA
Hivi majuzi nilisafiri kutoka Dar kuja huku kwetu kwenye baridi. Njiani nilipi-gapiga tupicha lakini hizi nilizipenda.
MILIMA YA ULUGURU KUTOKEA STENDI ZA MABASI YA HOOD HOOD MJINI MOROGORO
MTO RUAHA UNAOTENGANISHA MKOA WA MOROGORO NA IRINGA
MCHOMA MAHINDI KATIKATI YA MLIMA KITONGA
VIJANA WAKIPIMANA NGUVU (NGUMI) UYOLE, MBEYA

0 Comments:

Post a Comment

<< Home