Tuesday, June 12, 2007

Watoto wa shule Tanzania wakutwa na silaha za maangamizi
He kumbe ujambazi bongo waanzia shuleni. Hivi sisi ni kizazi cha namna gain. Lakini pengine sio Bongo tu. Bongo watu wakichapana kwa visu ughaibuni wachapana kwa risasi. Mtoto alelewavyo ndivyo atakavyokyuwa. Eti bongo watoto wakamatwa na silaha shuleni. Watoto wakora hawa. Ila sijui ni kweli au chumvi kibao. Je wakikuwa si watakuwa wameshazoea ukora ama utukutu. Ukishasoma kwa kubofya hapa niambie ama tafakuri mwenyewe tufanyeje.

0 Comments:

Post a Comment

<< Home