Monday, March 12, 2007

Kwa Michuzi Tu
Eti Michuzi weweza kunitajia hapa ni wapi. Kumbukumbu zangu ushawahi kupita hapa. Wengine pia ruksa kubashiri ama kupataja.

5 Comments:

At 12:15 PM, Blogger MICHUZI BLOG said...

hapo ni tokyo mkabara na soko kuu na mlango wa pili toka duka la kina mkakile. picha umepiga huku ukikoswakoswa na daladala za kwenda masoko tokea kituo kikuu upande wako wa kulia...

 
At 3:13 AM, Blogger John Mwaipopo said...

Michuzi we mkalikweli ni Tukuyu. Ila nilikuwa ndani ya Coaster nikitokea Kyela kumsalimia bibi yangu Ndimbumi.

 
At 3:28 PM, Blogger MICHUZI BLOG said...

hahahaaa!

sema pengine, hapo nimesota sana enzi hizo, hata uniamshe usingizini sehemu yoyote ya tokyo ntaijua tu.

umekuwa mvivu siku hizi ticha!

 
At 10:11 AM, Blogger Mikundu Matako Makalio Manundu said...

hatari, bonge la chemsha bongo... msisahau kumpitia...
http://mikundu.blogspot.com/

 
At 11:08 PM, Blogger MICHUZI BLOG said...

kaka umekuwa mvivu (au mvuvi, ndo maana uko bize) siku hizi!

 

Post a Comment

<< Home