Tuesday, October 19, 2010

KUMEKUCHA UCHAGUZI

Katika kuhakikisha siiachi/siikosi haki yangu ya kupiga kura nikafungua mtandao wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kujirishidha kuwa nimo ama simo. Wako systematic sana unaingiza namba ya kadi yako na mtandio unaonyesha hali ya uwepo (ama kutokuwepo) kwako. Pia unatumiwa e-mail. Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ndio wako systematic zaidi. Zanzibar unajithibitisha kwa kutumia simu ya mkononi tu.



Kwa karibu zaidi



Kwa mbali kidogo

Labels:

1 Comments:

At 2:44 AM, Blogger Yasinta Ngonyani said...

mmhhh! haya!

 

Post a Comment

<< Home