Monday, June 23, 2008


TFF Mafisadi?

Rais wa TFF Leodgar C. Tenga

Jamani naomba mnisaidie hivi inachukua siku ngapi kuhesabu na kutangaza kiasi kinachopatikana kutokana na mauzo ya tiketi za kuingilia kiwanjani. TFF hawajatangaza mpaka leo kiasi cha mapesa waliyoyapata kutokana na mechi ya Tanzania na Cameroun Uwanja Mkuu wa Taifa. Ninajiwa na hisia za kaufisadi hivi.

Katibu wa TFF Frederick Mwakalebela

Hata hivyo viwango vya mechi hiyo vilikuwa juuu sana. Si haba walipata pesa ya kutosha ambayo pengine inawatoa udenda.

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

<< Home