Monday, June 16, 2008

Kiswahili katika maandishi ya Kiarabu

Niliwahi kusoma sehemu ambayao siikumbuki kuwa Kiswahili kilikuwa na maandishi yake lakini wajanja wa kikoloni walikiweka Kiswahili katika herufi za Kirumi na watawalo wa kwanza wa nchi zetu hizi hawakutaka kurejea katika herufi za awali. Hata hivyo hazikuwa za Kiarabu kama hizi. Waarabu nao walitaka kuchomekea maandishi ya Kiarabu kama katika picha hii niliyoifuma Bagamoyo kwenye makumbusho ya Kanisa Katoliki.


Je kuna yeyote anaweza kututafsiria baadhi ya sentensi hapo?

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

<< Home