Thursday, February 19, 2009


Hii ndio nini? BusObama?Kweli majuu hamnazo.

1 Comments:

At 2:07 PM, Blogger Christian Bwaya said...

Hizi picha zinaeleza ukweli wa mambo. Marikani, hata kama marais wanabadilika, kimsingi sera hubaki zilezile. Obama na Bush wanatetea kile kile kwa namna tofauti.

 

Post a Comment

<< Home