Friday, December 05, 2008

Ndanda Kosovo ndani ya Nyumba Tena
Yule Mkongomani aliyetikisa sana anga za Tanzania kwa muziki wa dansi yenye mirindimo ya Ki-Kongo almaarufu Ndanda Kosovo ameibuka kivyengine. Yupo na bendi inaitwa Watoto wa Tembo International. Haya tusubiri nini katuandalia Krisimasi hii. Sie yetu macho na starehe tu wakongo wanaposhindana.

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

<< Home