
Yule Mkongomani aliyetikisa sana anga za Tanzania kwa muziki wa dansi yenye mirindimo ya Ki-Kongo almaarufu Ndanda Kosovo ameibuka kivyengine. Yupo na bendi inaitwa Watoto wa Tembo International. Haya tusubiri nini katuandalia Krisimasi hii. Sie yetu macho na starehe tu wakongo wanaposhindana.
No comments:
Post a Comment