Tuesday, October 14, 2008

Huyu ndiye Chifu Wetu Mwangupili

Wazee wa kule nilikozaliwa wamemtunuku Jk kuwa chifu wetu, Chifu Mwangupili. Tunuku hiyo amepewa jumamosi tarehe 11. Habari kamili hii hapa.

No comments:

Post a Comment